You are stronger than you think
*KAULI ZA USHINDI KUTOKA KWA WATU ZAIDI DUNIANI.* ✍Donald Trump yeye kila wakati husikika akisema *"I always win,* *I am a winner"*...... Miongoni mwa kitu Trump hakiamini Maishani mwake ni Kushindwa.....Anaamini katika Changamoto lakini huwa haamini katika Kushindwa kwani anajua kuwa Mungu alituumbia Changamoto lakini hakutuumbia Kushindwa.....Ni Maamuzi yetu wenyewe Kushindwa au Kushinda......Na sisi sote ni mashahidi wa bwana Donald Trump kuwa kweli huwa hashindwi, yeye jambo lolote analolitaka akiamua kupambana hata kama kuna vizingiti kiasi gani huwa haamini kushindwa na mwisho huwa anashinda.....Donald Trump aliingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha *" Guineas Book of World Record "* baada ya kuweka rekodi ya kushinda maeneo mengi ambayo watu walijua atashinda. TUMEUMBIWA USHINDI.....Biblia inasema "Tumefanyika washindi naam zaidi ya Washindi". Warren Buffet akiwa kijana mdogo aliwahi kuwaambia ndugu zake na rafiki zake kuwa " Niki...